Login

About Us

Assalaamu 'Aleykum waRahmatullaahi waBarakaatuh

Lengo la chama chetu ni kusaidia mayatima maskini walioko Mombasa ; kuwapa msaada utakao wasaidia katika kutafuta ilimu ya dini na dunya.

CHAMA HICHI SI KIKUNDI GENI , WALA SI POTE JIPYA , WALA SI CHAMA CHA UJAMAA WALA UKABILA . MTU YEYOTE ANAYE AMINI , NA KUKUBALI , NA KUFUATA QUR�AN NA SUNNAH ZA MTUME (sallaAllaahu 'alayhi wasallam) KUPITIA UFAHAMU NA MWENENDO WA AS-SALAFU SAALIH (WATU WEMA WALIPOITA) ANAKARIBISHWA.

Habari Mapya

image

Barabaque

Rabiul Thaani/ May

Barabaque (Choma choma) ya mwaka huu : Itakuwa Jumapili tarehe 20 Mei , Pale pale Sunnybrook kama mwaka jana. Kwanzia saa saba hivi. InshaAllaah.

image

Muhadhara Maalumu

Rabiul Thaani/April

Siku ya Jumamosi tarehe 10 rabiul thaani / 28th April. Shaykh Saaleh as-Saaleh atatuzungumzia kupitia mtandao . Mada itakuwa : "Ndoa na kufuzu katika Ndoa , kupitia Sunnah" . Mhadhara utaanza saa tisa na nusu. InshaAllaah.

Main Menu

Jukumu Letu